Thursday, 13 August 2015

UPONYAJI WA AFYA (UZIMA) 1 THES 5:23 Mchg Lazaro Mpinga




UPONYAJI WA AFYA (UZIMA) 1 THES 5:23

1)      Mungu anapenda kuona watoto wake wakiwa na afya na uzima siku zote kama sisi tunavyopenda kuona watoto wetu wakiwa wazima na afya njema siku zote kiafya, kiakili, nafsi , roho na mwili.

a.       Kazi ya shetani ni kuharibu afya zetu siku zote

b.      Yesu aliturudishia afya zetu msalabani, kufufuka kwake kwaonyesha ushindi kwa mwanadamu dhidi ya dhambi na magonjwa yote.

                                                              i.            Dhambi ndio chanzo cha magonjwa yote

                                                            ii.            Shetani alinyang’anywa mamlaka yote, Mungu akaturudishia afya zetu kwa kushinda kifo na mauti

                                                          iii.            Shetani hutuwazia mabaya siku zote, ila Mungu hutuwazia mema siku zote (uzima).

2)      Dhambi ya anguko la mwanadamu ilileta madhara makubwa sana kama ifuatavyo;

a)      Macho ya kiroho yalipotea Efe 1:8; Math 6:22-23

b)      Hikima ya Mungu ilipotea 1 Kor 2:6-7

c)      Uzima ulisitishwa Mwz 3:1-10

d)     Ushirika kati ya Mungu na mwanadamu ulipotea

e)      Akili zilipotea 1 Petr 4:7.



No comments:

Post a Comment