Saturday, 1 August 2015

REV LAZARO EMANUEL MPINGA

Ni Mchungaji wa kanisa la EAGT PATMO HARKA ambalo lipo maeneo ya Mbulu mjini karibu na msikiti wa zamani maeneo ya Harka.

Kabila ni mnyiramba, kutoka Singida Iramba- Kiomboi

Familia ni mke mmoja anaitwa Debora Lazaro pamoja na watoto wanne (4)
1. Neema Lazaro
2. Emanuel Lazaro
3. Anna Lazaro
4. Joshua Lazaro

No comments:

Post a Comment