Monday, 10 August 2015

UKENGEUFU WA WALOKOLE WA SASA na Mchg Lazaro E. Mpinga



UKENGEUFU WA WALOKOLE WA SASA
1)  MAANA YA UKENGEFU WA SASA 1 Tim 4:1-4; 2 Tim 3:1-8
a.   Kukengeuka na kuacha njia ya Bwana. 1 Tim 1:18-20
b.   Kuishi kinyume cha Mungu. Galatia 1:6-9
i.    Maisha ya dhambi
ii.   Kukosa utii kwa Mungu
iii.  Kutofanya mapenzi ya Mungu

c.   Kuacha maadili mema ya kiroho
i.          Kuishi kinyume cha awali
ii.         Kuchukua mambo mageni
iii.        Kuhanguka kiroho

2) UKENGEFU UNAVYOANZA KWA MTU
a.         Kufuata mambo ya dunia
i.    Elimu na ujuzi wa kiulimwengu
ii.   Kufuata hadithi na michezo ya mipira
iii.  Kutotii neno laMungu
iv.  Kuacha ibada na maombi
v.   Mazoea ya kiroho na ibada
vi.  Hofu ya Mungu kutoweka ndani ya mioyo

b.         Kudharau watumishi wa Mungu
i.    Kubagua huduma
ii.   Kuwa na mtazamo wa kimwil

 3) BAADHI YA WATU WALIOKENGEUKA

A. SAULI 
I.          Alikosa utii kwa Mungu
II.        Alikosa uaminifu
III.       Alikosa hofu ya Mungu

B. SAMSONI
I.       Kwa sababu ya wanawake
II.      Kwa tama zake za udanganyifu
III.     Kwa sababu ya kupenda anasa

4) UKENGEUKU KWA KINA MAMA
a.  Kwa mavazi yao 1 Tim 2:9-11
b.  Katika ndoa zao
i.   Wanapenda maisha ya raha
ii.  Hawapendi kufanya kazi

5) UKENGEUFU KWA KINA BABA
a.  Kukosa uaminifu katika Ibada
b.  Wametingwa na shughuli za kutafuta pesa
c.  Wanapenda kukaa kwenye bao na michezo ya mipira
i. Kupenda mabinti wadogo
ii. Kutotunza familia zao vizuri

5) UKENGEUFU KWA WACHUNGAJI
a.  Ubinafsi na uchoyo
b. Kukosa upendo
c. Kiburi cha uzima
                   i. Kuacha kusudi la wito wao
                 ii. Kufundisha utoaji bila utakatifu
              iii. Kupenda utukufu
              iv. Kuanguka

6) HITIMISHO
a.  Hivyo kanisa lipo katika hali ngumu sana kulingana na ukengeufu huu
b. Twapaswa kukesha katika maombi saa zote
                   i. Neno la Mungu ndio silaha kuu
                 ii. Kudumu katika upendo wa kimungu
              iii. Uvumilivu ndio tabia ya watu wa Mungu.











No comments:

Post a Comment